Deuteronomy 4:19

19 aNa utazamapo juu angani na ukaliona jua, mwezi na nyota na vyote vinavyoipamba mbingu, usije ukashawishiwa kuviinamia na kuviabudu vile ambavyo Bwana Mwenyezi Mungu wenu alivyogawia mataifa yote chini ya mbingu.
Copyright information for SwhKC